Thursday, April 19, 2012

Nimerudi


Wasomaji wangu,

Kwanza lazima nitoe msamaha wangu wa dhati kwa kutulia kwa kipindi cha muda mrefu. Nimerudi kwa kishindo na nimeandaa makala muhimu ambayo yanaelezea baadhi ya mambo ambayo ninayaona kuwa muhimu.

Tegea makala yangu baada ya muda mfupi.

Wasaalam,
Lorot 

No comments:

Post a Comment